Dar es Salaam. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amemteua tena Profesa Palamaganda Kabudi kuwa Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo. Uteuzi huo umetangazwa leo ...
Dar es Salaam. Maisha uliyopitia yanaweza kujenga wazo linaloweza kukutambulisha duniani. Ndivyo ilivyo kwa Gibson Kawango, ambaye awali alitaka kuwezesha familia yake kupata nishati ya umeme, sasa ...
Arusha. Mahakama Kuu, Masjala Ndogo ya Tanga imemwamuru Jonas Ihashe, anayeendesha biashara kwa jina la Masai Utalii Company Limited, kulipa kwa Mfuko wa Hifadhi ya Jamii (NSSF) malimbikizo ya ...
Dar es Salaam. Mahakama ya Hakimu Mkazi Dar es Salaam, Kisutu imesimamisha kwa muda usiojulikana usikilizwaji wa kesi ya Kocha Listoni Katabazi dhidi ya Shirikisho la Mpira wa Miguu Nchini (TFF), ...
Mbeya. Mwili wa aliyekuwa mwanafunzi wa Chuo Kikuu Mzumbe, Ndaki ya Mbeya, Shyrose Mabula, aliyeuawa kikatili kisha kuchomwa moto, umezikwa, huku waombolezaji wakipaza sauti kukemea tukio hilo, ...
Mgombea wa urais kupitia Chama cha Ada Tadea, Georges Busungu (kushoto) na Mgombea mwenza Ali Makame Issa wakiwasili kwenye mkutano wa hadhara wa kujinadi kwa wananchi katika viwanja vya Tangamano ...
Rais Mstaafu Dk Mohamed Shein akimkabidhi ilani mgombea wa CCM, Dk Hussein Mwinyi wakati wa uzinduzi wa kampeni za chama hicho katika viwanja vya Mnazimmoja Unguja Zanzibar Unguja. Rais mstaafu wa ...
Dar es Salaam. Januari mosi, 1974, ilikuwa Jumanne. Ulimwengu ulipokea taarifa za mafanikio ya kisayansi baada ya chombo cha kiroboti kinachoitwa Mariner 10 kuwasili kwenye sayari ya Zebaki (Mercury), ...
Moshi. Askofu mstaafu wa Dayosisi ya Kaskazini ya Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), Dk Martin Shao amefariki dunia leo Jumatatu, Agosti 25, 2025 wakati akipatiwa matibabu katika ...
Katibu Mkuu wa CCM, Balozi Dk Emmanuel Nchimbi akizungumza na wahariri na waandishi wa habari waandamizi katika ofisi ndogo za makao makuu ya chama hicho, Lumumba jijini Dar es Salaam, leo Agosti 11, ...
Arusha. Neema Mwakalukwa (33), mkazi wa Muriet jijini Arusha amekutwa amefia ndani ya chumba cha nyumba ya kulala wageni. Mwili wa Neema aliyekuwa mhudumu wa baa ulikutwa ndani ya chumba hicho jana ...
Dar es Salaam. Kikosi cha Timu ya Taifa ya Tanzania, Taifa Stars, kinatarajiwa kushiriki mashindano ya CECAFA yaliyoandaliwa maalum kwa ajili ya kujiandaa na michuano ya Kombe la Mataifa Afrika kwa ...
Some results have been hidden because they may be inaccessible to you
Show inaccessible results