Dar es Salaam. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amemteua tena Profesa Palamaganda Kabudi kuwa Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo. Uteuzi huo umetangazwa leo ...
Dar es Salaam. Maisha uliyopitia yanaweza kujenga wazo linaloweza kukutambulisha duniani. Ndivyo ilivyo kwa Gibson Kawango, ambaye awali alitaka kuwezesha familia yake kupata nishati ya umeme, sasa ...
Arusha. Mahakama Kuu, Masjala Ndogo ya Tanga imemwamuru Jonas Ihashe, anayeendesha biashara kwa jina la Masai Utalii Company Limited, kulipa kwa Mfuko wa Hifadhi ya Jamii (NSSF) malimbikizo ya ...
Dar es Salaam. Mahakama ya Hakimu Mkazi Dar es Salaam, Kisutu imesimamisha kwa muda usiojulikana usikilizwaji wa kesi ya Kocha Listoni Katabazi dhidi ya Shirikisho la Mpira wa Miguu Nchini (TFF), ...
Rombo. Zikiwa zimepita siku 22 tangu bweni la wasichana katika Shule ya Sekondari Mkuu, Wilaya ya Rombo, mkoani Kilimanjaro kuteketea kwa moto, bweni jingine la shule hiyo lenye wanafunzi 160 ...
Dar es Salaam. Yanga imekwea kileleni kwenye msimamo wa Ligi Kuu Bara baada ya kuibuka na ushindi wa mabao 4-1 dhidi ya KMC katika mchezo uliopigwa Uwanja wa KMC Complex. Huu ndiyo mchezo ambao ...
Unguja. Shirika la Bandari Zanzibar (ZPC) limetangaza kutoa punguzo la asilimia 80 ya tozo ya aridhio (Wharfage) kwa bidhaa zote za chakula zinazoingia nchini kupitia bandari zote zinazohudumiwa na ...
Nairobi. Eric Ominde, aliyekuwa dereva wa hayati, Raila Odinga kwa zaidi ya miaka 20, amesimulia simu ya mwisho aliyopokea kutoka kwa kiongozi huyo maarufu wa upinzani kabla ya kifo chake cha ghafla.
Dar es Salaam. Rais Samia Suluhu Hassan ametangaza Jumatano Oktoba 29, 2025 kuwa siku ya mapumziko ya kitaifa ili kuwawezesha Watanzania kushiriki katika shughuli ya kupiga kura. Kwa mujibu wa taarifa ...
Dar es Salaam. Mahakama Kuu Masjala Ndogo Dar es Salaam, imekataa maombi ya kusimamishwa shauri la kudharau amri ya mahakama linalowakabili viongozi wa Chadema, wakiwamo Makamu Mwenyekiti (Bara), ...
Rais Samia Suluhu Hassan ameielekeza Ofisi ya Mashtaka, kuwafutia makosa vijana wote walioonekana kushiriki maandamano yaliyosababisha vurugu Oktoba 29, mwaka huu, kwa kufuata mkumbo, akisema... Rais ...
Pedro Goncalves Kocha Mkuu mpya wa Yanga. Dar es Salaam. Klabu ya Yanga imemtambulisha, Pedro Goncalves kuwa Kocha Mkuu wa kikosi hicho akichukua mikoba ya Roman Folz ambaye alitimuliwa. Goncalves ...
Some results have been hidden because they may be inaccessible to you
Show inaccessible results