Ni mwanamziki wa kizazi kipya na mashuhuri sana nchini Tanzania Mbwana Yusuph Kilungi maarufu kama Mbosso anasifika sana kwa mziki wake, maneno yakimtoka moyoni. Lakini Mboso anaugua maradhi ya moyo.
Results that may be inaccessible to you are currently showing.
Hide inaccessible results