Tanzania inatenga kiasi cha fedha kwa ajili ya kupambana na mitandao ya ngono. Tanzania inasema picha hizo ni kinyume cha maadili ya nchi hiyo, hivyo inatengeneza mfumo utakaoweza kuchuja na kuzuia ...
Chuo Kikuu cha Dodoma(UDOM) nchini Tanzania kimetoa taarifa kwa umma kujibu tuhuma dhidi ya mwanataaluma wa chuo hicho. Chanzo cha picha, University of Dodoma Chuo Kikuu cha Dodoma(UDOM) nchini ...
Mamlaka ya mkoa wa Dar es Salaam nchini Tanzania imeunda kamati nne kwa ajili ya kupambana na biashara za ngono na mapenzi ya jinsia moja, ili kukabiliana na uvunjwaji wa maadili na sheria nchini humo ...
Waziri mmoja na msimamizi wa shughuli za serikali wamejiuzulu nchini Chad kufuatia kusambaa kwa video za ngono zinazowahusu wawili hao wakiwa na watu wengine. Waziri wa Ulinzi, Daoud Yaya Brahim, na ...